Pages

Tuesday, June 19, 2012

Rais Jakaya Kikwete Akutana na Uongozi Wa Shirikisho la Basketball Tanzania (TBF)

ph1. Rais Jakaya Kikwete akipokea jezi ya timu ya Mpira wa Kikapu inayocheza ligi ya NBA ya Marekani New York Knicks toka kwa Rais wa Shirikisho la Basketball (TBF) Bw Mussa Mziya na Makamu wake Bw Phares Magessa walipomtembelea leo Ikulu Jijini Dar es salaam na kumueleza mipango ya chama hicho katika kuinua vipaji na viwango vya mchezo.
Rais Jakaya Kikwete akipokea jezi ya timu ya Mpira wa Kikapu inayocheza ligi ya NBA ya Marekani New York Knicks toka kwa Rais wa Shirikisho la Basketball (TBF) Bw Mussa Mziya na Makamu wake Bw Phares Magessa walipomtembelea leo Ikulu Jijini Dar es salaam na kumueleza mipango ya chama hicho katika kuinua vipaji na viwango vya mchezo.
Rais Jakaya Kikwete akiongea na Rais wa Shirikisho la Basketball (TBF) Bw Mussa Mziya na Makamu wake Bw Phares Magessa walipomtembelea leo Ikulu Jijini Dar es salaam na kumueleza mipango ya chama hicho katika kuinua vipaji na viwango vya mchezo.Picha na IKULU

Popular Posts