Pages

Saturday, June 23, 2012

Wagombea Mbalimbali wa Uongozi Klabu ya Yanga

Manji akiwasili Makao Makuu ya Yanga.
Saidi Motisha akimkaribisha mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji kuingia Makao Makuu ya klabu hiyo wakati wa usaili
Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji akiteta jambo na mwanachama wa klabu hiyo, Bi. Rukia Mohamed Makao Makuu ya klabu Dar es Salaam, alikokwenda kufanyiwa usaili kwa ajili ya uchaguzi mdogo.
Manji akiwasili Makao Makuu ya Yanga.
Manji akizungumza na waandishi wa habari
Mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Yanga, Sarah Ramadhani naye akiingia wakati wa usaili
Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga (mwenye tai) akiwa na mgombea wa nafasi ya ujumbe, Peter Haule baada ya kufanyiwa usaili kwa ajili ya uchaguzi mdogo.
Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa yanga, Clement Sanga (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya wanachama wa Yanga baada ya usaili
Manji akiondoka baada ya kufanyia usaili na kamati ya uchaguzi.Picha na Habari na Mdau Francis Dande

Popular Posts