Pages

Saturday, July 14, 2012

FAINALI YA WHITE DENT QUIZ 2012 JIJINI MWANZA

Chemi cotex Industries Managing Director Lakshmi Narayan Rathi awarding the Whitedent squiz trophy to winning school – Pendo English Medium school – Dar es sallam

Chemi cotex industries Managing director Lakshmi Narayan Rathi (left) awarding the 1 million TSH Gift voucher for buying books for the school to the students of the winning school – Pendo English Medium School
--
Dar es Salaam; 13 July, 2012:Chemi & Cotex industries Ltd, watengenezaji wa watunga ya dawa za meno za Whitedent na bidhaa nyingine za usafi wa kinywa ya leo ina furaha kutangaza fainali ya Whitedent shule squiz 2012.

Washindiwasquizhii mwaka huu ni Pendo English Medium kutoka Mwanza, ambayoilichukuakombe la whitedent Squiz mara baada ya kuwabwagaShule ya Msingi Yombo Vituka Dar es sallam katika fainali hizo.

Timu hiyo ilijishindia kompyuta 9, printer pamoja, vocha za shilingi milioni 1 milioni kwa ajili ya kununua vitabu vya shule, baiskeli kwa ajili ya wanafunzi walioshiriki mbali na vocha zenye thamani ya shilingi 200,000 kwa ajili ya kununua vitabu, Shule ilipatiwa kompyuta 4, printer 1 na vocha za manunuzi za shilingi 400,000 kwa ajili ya kununua vitabu na saa, Vochaya100,000 kwaajiliya kununua vitabu kwa wanafunzi walioshiriki.

Zawadinyinginewalizopewawale walioingia katika hatua ya nusu fainali na robo ni kompyuta, taa za nishati yajua, mipira, dawazameno, miswaki mbali na T-shirt nakujishindiavyetivyotehivivikiwana thamani ya shilingi milioni 30.

Hotuba ya kuhitimisha kutokaChemi&Cotex kwa wanafunzi mjini Mwanza iliwapongeza wanafunzi wotena shule zilizoshinda kwa ushirikiano wao wa hali na mali katika mashindano hayonakwa umma piaikiwa ni pamoja na ziara hasa katika vituo vya mayatima, Dar na
Arusha.
Shindano hili lilihusisha wanafunzi wa darasa la sita wenye umri kati ya miaka 12-13 kwa kuzingatia jinsiaili kuweza kukabialiana na changamoto na wote walipewa zawadi mbalimbali.
Zaidi ya hapo shindano hili lilishirikisha zaidi shughuli za kijamii ambapo washiriki waliofanikiwa kuingia hatua ya robo fainali na nusu fainali walipata fursa ya kutembelea vituo vya yatima kujua maendeleo yao kielimu zaidi na pia kuwapatia zawadi mbalimbali kutoka Chemi&Cotex. Tunayo furaha kubwa kutangaza kuwa chemsha bongo mashulenii mehitimishwa rasmi.
Ends.

Popular Posts