Pages

Tuesday, July 10, 2012

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilson Mukama Akutana na Ujumbe wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC)

KATIBU Mkuu wa CCM, Wlson Mukama, akizawadiwa na kiongozi wa ujumbe wa Chama Cha Kikomusti cha China, Ma Wen baada ya mazungumzo yao.
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Wilson Mukama, akizungumza na ujumbe wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC), Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, Jana.Ujumbe huo unaongozwa na Ma Wen (wa pili kulia), ambaye ni Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Ukaguzi wa Nidhamu ya CPC. Wajumbe wengine na vyeo vyao katika mabano ni Keng Xiangren (Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Usimamizi), Tian Chengjiang (Mkurugenzi wa Taasisi ya Usimamizi katika Mkoa wa Ning Xia), Ding Bodong (Mkurugenzi wa Usimamizi katika jimbo la Hai Nau), Dai Hui (Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Utawala katika Wizara ya Usimamizi) na Cai Wei, ambaye ni Mkuu wa Sehemu ya Idara ya Uhusiano wa Kimataifa katika wizara hiyo.

Popular Posts