Pages

Friday, July 13, 2012

Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Fatma Fereji katika Maadhimisho ya Siku ya Idadi ya Watu Duniani

Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Idadi ya Watu Dunia, Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Fatma Fereji (aliyesimama). Kushoto ni Mwenyeji wa Maadhimisho ya Siku ya Idadi ya Watu Dunia, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera.

Mwenyeji wa Maadhimisho ya Siku ya Idadi ya Watu Dunia, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (aliyesimama) akisoma hotuba ya utangulizi, katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku hiyo. Kulia ni Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Idadi ya Watu Dunia, Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Fatma Fereji
Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (Kushoto)akimpa vipeperushi na nyaraka zinazoelezea majukumu na kazi za Tume ya Mipango kwa maelezo kwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Idadi ya Watu Dunia, Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Fatma Fereji, (Wa pili kulia.
Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (Kushoto) akitoa maelezo kwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Idadi ya Watu Dunia, Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Fatma Fereji, (Wa pili kulia) wakati alipotembelea Banda la Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku hiyo. Wa kwanza kulia ni mwenyeji wa maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera.
Baadhi ya wananchi waliojitokeza katika maadhimisho hayo.
Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Idadi ya Watu Dunia, Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Fatma Fereji akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Maadhimisho hayo yaliyofanyika kitaifa mkoani Morogoro.

Popular Posts