Pages

Thursday, July 12, 2012

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Ashiriki Mazishi Ya shemeji yake, Mzee Sadik Ismail

Waombolezaji wakiwa wamebeba mwili wa Mzee Sadik Ismail Katila, shemiji yake Waziri Mkuu Mizengo Pinda, katika mazishi yaliyofanyikaMjiniMpanda Julai 10, 2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka udongo kwenye kaburi la shemeji yake, Mzee Sadik Ismail Katila katika mazishi yaliyofanyika mjini Mpanda Julai 10,2012. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Popular Posts