Pages

Sunday, July 29, 2012

MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA KATI YA BANDARI YA MTWARA MPAKA ZAMBIA

Hii ndiyo bango la mradi huo wa ujenzi wa barabara inayotoka mnarani hadi bandarini ambayo inasimamiwa na kampuni ya SOUTHERN LINK.
Pia bila shaka kwa Manicipal ya Mtwara mjini hii ndiyo itakuwa barabara ya kwanza kwa ukubwa na kiwango cha ubora kuliko zingine ambazo zipo katika Manicipal hiyo.
Haya ni baadhi ya Magreda ya kampuni ya Southrn Link yakipiga mzigo kukamilisha barabara hiyo.
Sehemu ya wanawake ambao wamejipatia vibarua kwa muda katika barabara hiyo ili kukuzi mahitaji kidogo ya maisha yao.

Popular Posts