Pages

Saturday, August 4, 2012

Wananchi Wa kata ya Tarati wilaya ya Simanjiro watoa maoni ya Katiba mpya

Bw. Godson Luya, mkazi wa kata ya Terati wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano ulioitishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika kata hiyo hivi karibuni.
Wakazi wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wakifuatilia mkutano wa kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya ulioitishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba wilayani hapo hivi karibuni.

Popular Posts