Pages

Sunday, July 29, 2012

WAZIRI MKUU AWAPONGEZA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiwapongeza Waziri wa Nishati na madini, Profesa Sospeter Muhongo (wapili kushoto),NaibuWaziri wa Wazara hiyo, Stephen Masele (wapili kulia) na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo,Eliachim Maswi baada ya Bunge kupitisha bajeti ya Wizara hiyo Mjini Dodoma Julai 28,2012. Picha na Ofisi ya Waziri mkuu

Popular Posts