Pages

Saturday, August 4, 2012

MBUNGE WA MONDULI ATOA TENDE NA KANZU KWA WANANCHI

Mh Lowassa akimkabidhi sheikh Simba sehemu ya tende hizo.Wengine pichani kushoto ni Sheikh wa Mto wa Mbu Sheikh Nasib Idd Nasib Mnyema Kkatibu wa Bakwata wilaya ya Monduli Idd Idoya na Ustadh Swalehe Ramadhan .
Waziri Mkuu aliyejiuzulu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa, ametoa katoni kadhaa za tende pamoja na jozi 100 za kanzu kwa ajili ya Waislam wa Monduli.Akipokea msaada huo, sheikh wa wilaya ya Monduli Sheikh Mwinshehe Mwinyimgeni Salum Simba, alimshukuru mh Lowassa kwa utaratibu wake huo ambao amekuwa akiufanya kila mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa Waislam wa Monduli.

Popular Posts