Pages

Saturday, August 4, 2012

WACHEZAJI WA YANGA WAKIJINOA KATIKA UWANJA WA LOYOLA

KOCHA wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet, akikinoa kikosi cha timu yake katika Uwanja wa Shule ya sekondari Loyola iliyopo Mabibo jijini Dar es Salaam hii leo. Yanga inajinoa kwa michuano ya Ligi Kuu ya tabnzania bara inayotaraji kuanza baade mwezi huu. Lakini imezusha maswali kwa wadau wa soka nchi na wapenzi wa timu hiyo kwa kutokushiriki kwake michuano ya Super8 inayotaraji kuanza Agosti 5, 2012 katika viwanja mbalimbali nchini. Picha na Rachel Pallangyo-FK Blog.

Popular Posts