Pages

Saturday, August 4, 2012

wajipanga kuirejesha Tukuyu Stars Ligi Kuu

Wadau wa timu ya Tukuyu Star Banyambala ya Mbeya wakiwa tayari kwa safari ya kuelekea Tukuyu kwa ajili ya Kongamano la Kuifufua upya timu hiyo iliyovuma miaka ya 1980 na 1990 katika soka la Tanzania na ilifanikiwa kuchuka ubingwa wa Bara mwaka 1986. katika picha kulia ni Kocha Kenny Mwaisabula Mzazi wa pili kutoka kulia waliosimama ambaye ndiyo kiongozi na Makamu mwenyekiti wa Tukuyu Star Family, Fullshangweblog itakuwa ikikumuvuzishia moja kwa moja matukio ya kongamano hilo kutoka mjini Tukuyu Kesho. yakirushwa na Kamanda wa Fullshangweblog John Bukuku
Hapa wadau hao wakipozi kwa picha kabla ya uanza safari hiyo maeneo ya Ubungo jijini
Dar es salaam.

Popular Posts