Pages

Tuesday, July 31, 2012

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AKIWASILI PEMBA LEO KUANZA ZIARA YA MIKOA YA KUSINI NA KASKAZINI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi mbali mbali,wa Chama na Serikali, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba leo akiwa katika ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na Kaskazini.Picha na Ramadhan Othman,ORZ
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakisalimiana na Viongozi mbali mbali,wa Chama na Serikali, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba leo akiwa katika ziara maalum ya Mikoa ya Kusini na Kaskazini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi wakuu wa Vikosi vya Ulinzi Pemba, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba leo akiwa katika ziara maalum ya mikoa ya Kusini na Kaskazini.

Popular Posts