Pages

Saturday, August 4, 2012

VODACOM TANZANIA WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA MTWARA

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Joseph Simbakalila akisalimiana na ofisa Mkuu wa mauzo na usambazaji wa Vodacom Tanzania,Bw.Hassan Saleh,wakati alipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kumuelezea mikakati mbalimbali ya Vodacom ya kusaidia jamii hususani elimu na vikundi mbalimbali vya wanawake mkoani humo,Ofisa huyo yupo mkoani humo kwa ajili ya kampeni ya Ramadhan Care & Share inayolenga kufuturisha watoto yatima zaidi ya 500 wakati huu wa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan,kushoto ni Mkuu wa Vodacom Foundation Bw.Yessaya Mwakifulefule na katikati ni Mkuu wa Vodacom kanda ya kusini Bw.Mac Minja.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Joseph Simbakalila akisisitiza jambo kwa ofisa Mkuu wa mauzo na usambazaji wa Vodacom Tanzania,Bw.Hassan Saleh(kushoto)wakati walipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kumuelezea mikakati mbalimbali ya Vodacom kusaidia jamii hususani elimu na vikundi mbalimbali vya wanawake mkoani humo,Ofisa huyo yupo mkoani humo kwa ajili ya kampeni ya Ramadhan Care & Share inayolenga kufuturisha watoto yatima zaidi ya 500 wakati huu wa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan,katikati ni Mkuu wa Vodacom kanda ya kusini Bw.Mac Minja.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Joseph Simbakalila akiongea na baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,walipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kumuelezea mikakati mbalimbali ya kampuni yao ya kusaidia jamii hususani elimu na vikundi mbalimbali vya wanawake mkoani humo,wafanyakazi hao wapo mkoani humo kwa ajili ya kampeni ya Ramadhan Care & Share inayolenga kufuturisha watoto yatima zaidi ya 500 wakati huu wa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan,kutoka kushoto Meneja Mahusiano ya umma wa kampuni hiyo Bw.Matina Nkurlu.Mkuu wa Vodacom Foundation Bw.Yessaya Mwakifulefule,Ofisa Mkuu wa mauzo na usambazaji Bw.Hassan Saleh,Mkuu wa Vodacom kanda ya kusini Bw.Mac Minja.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Joseph Simbakalila akimsikiliza ofisa Mkuu wa mauzo na usambazaji wa Vodacom Tanzania,Bw.Hassan Saleh(kushoto)akiongea wakati alipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kumuelezea mikakati mbalimbali ya Vodacom ya kusaidia jamii hususani elimu na vikundi mbalimbali vya wanawake mkoani humo,Ofisa huyo yupo mkoani humo kwa ajili ya kampeni ya Ramadhan Care & Share inayolenga kufuturisha watoto yatima zaidi ya 500 wakati huu wa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan,katikati ni Mkuu wa Vodacom kanda ya kusini Bw.Mac Minja.
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Joseph Simbakalila akisisitiza jambo kwa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania mara baada ya kumaliza mazungumzo walipomtembelea ofisini kwake kwa ajili ya kumuelezea mikakati mbalimbali ya kampuni yao kusaidia jamii hususani elimu na vikundi mbalimbali vya wanawake mkoani humo,wafanyakazi hao wapo mkoani humo kwa ajili ya kampeni ya Ramadhan Care & Share inayolenga kufuturisha watoto yatima zaidi ya 500 wakati huu wa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan,kutoka kushoto Meneja Mahusiano ya umma wa kampuni hiyo Bw.Matina Nkurlu.Mkuu wa Vodacom Foundation Bw.Yessaya Mwakifulefule,Ofisa Mkuu wa mauzo na usambazaji Bw.Hassan Saleh,Mkuu wa Vodacom kanda ya kusini Bw.Mac Minja.

Popular Posts