Nape baada ya kuwasili mjini Mbeya kuanza ziara ya siku mbili mkoani humo.
 
  
  
  
  
  
 
  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye  akihutubia wanachama wa CCM, tawi la Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji  (TEKU) Mbeya, katika mahafali ya kuwaaga,jana Juni 25, 2012, katika  hoteli ya Paradise mjini Mbeya.
   Mwenyekiti mpya wa CCM mkoa wa Mbeya Maganga Sengerema akimkaribisha  nape kuzungumza kwenye mahafali hayo. Kulia ni Mwenyekiti wa Tawi la CCM  Chuo Kikuu cha TEKU  Boniface Paulo.
   Katibu wa Halmshauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na uenezi, Nape Nnauye  akimpa kadi ya CCM Aranora Msigwa wa mwaka wa  tatu, Chuo Kikuu cha  Teofilo Kisanji (TEKU) alipopokea wanachama wapya wa CCM, wakati wa  mahafali ya wana-CCM tawi la Chuo hicho mjini Mbeya,Jana June 25.  Kushoto ni Mwenyekiti mpya wa  wa CCM Mbeya, Maganga Sengerema.
   Wana_CCM tawi la Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) Mbeya wakimpa  zawadi ya picha yake, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi  na uenezi, Nape Nnauye wakati wa mahafali ya wana-CCM tawi la chuo  hicho.
   Katibu wa Halmshauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na uenezi, Nape Nnauye  akishiriki kucheza muziki wa mtindo wa 'Kwaito' wakati wa sherehe za  mahafali ya wana-CCM  tawi ala Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU)  katika hoteli ya Paradise mjini Mbeya jana June 25.
   Wana-CCM tawi la TEKU wakifurahi wakati wa kwenye mahafali yao yaliyofanyika uykumbi wa hoteli ya Paradise mjini Mbeya.