Pages

Sunday, June 24, 2012

Rais Jakaya Kikwete Akagua Mradi Wa kufyetua Matofali yanayotengenezwa kwa mashine za Hydrafoam Bagamoyo

Rais Jakaya Kikwete Akikagua Mradi wa kufyetua Matofali yanayotengenezwa kwa mashine za Hydrafoam kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari ya Mboga,Wilayani Bagamoyo,Mashine hiyo yenye thamani ya shilingi Millioni Sabini 70m/-imetolewa na Rais Jakaya Kikwete kama Msaada kwa vijana Waliounda Ushirika ili kuboresha maisha yao kwa kufanya miradi mbalimbali ya Ujenzi na Uzalishaji.Picha na Freddy Maro-IKULU

Popular Posts