
  Mkurugenzi  Mkuu na CEO wa Precision Air, Alfonse Kioko akizungumza wakati wa  tafrija ya uzinduzi wa safari za Shirika hilo la ndege jana kutoka Dar  es Salaam hadi Lusaka Zambia kupitia Lubumbash.Hafla hiyo iliyofanyika  katika mji wa Lusaka Hoteli ya Taji Pamodz. 
 
  Naibu Katibu Mkuu katika Wizara ya Uchukuzi, John Thomas James Mngodo  akizungumza kaatika hafla hiyo iliyofanyika katika mji wa Lusaka Hoteli  ya Taji Pamodz.
 
 Mgeni  Rasmi, Naibu Wazizi wa Usafirishaji, Kazi, Usambazaji na mawasiliano wa  Zambia, Samuel Mukupa akizungumza jana katika tafrija maalum ya  uzinduzi wa safari za Ndege za Kampuni ya Precision Air kutoka Dar es  Salaam kwenda Lusaka kupitia Lubumbashi. Mukupa alisema mbali ya  kuzidisha mahusionao baina ya Tanzania na Zambia lakini pia itawasaidia  sana wafanya biashara wa Zambia katika safari zao za kibiashara  Tanzania.
 
  Balozi wa Tanzania nchini Zambia, Grace Mujuma akizungumza wakati wa uzinduzi huo.
 
  Kocha Msaidizi wa Mabingwa wa Afrika, Timu ya Taifa ya Zambia 'Chipolopolo' Honor Janza nae alikuwepo.
 
  Meneja  Mkazi wa Afrika ya Kati wa Kampuni ya Precision Air, Emmanuel Mathias  Ng'andu akiwa na Meneja Maweasiliano wa Kampuni hiyo Anneth Nkini wakati  wa tafrija hiyo. 
 
 Viongozi wakishangilia jambo. 
 









  Mkurugenzi  wa Masoko, Patriki Ndekana , (kushoto), Meneja Mauzo, Tuntufye  Mwambusi, Hilda Lema, Mariam Ismail na Meneja Mkazi wa Afrika ya Kati wa  Kampuni ya Precision Air, Emmanuel Mathias Ng'andu wakipamba moto  katika EDUDHA.

 CEO wa Precision Air, Alfonse Kioko (kulia) akiwaongoza wafanyakazi wake kucheza EDUDH.Picha Zote Zimeletwa na Mdau Mroki Mroki