Pages

Sunday, June 24, 2012

SAFARI YA MWISHO YA MHARIRI WILLY EDWARD OGUNDE

Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mara, Hilikia Omindo akiiongoza familia ya marehemu Willy Edward kuweka udongo kwenye kaburi wakati wa maziko.
Watoto wa marehemu Willy Edward, Colman na Careb wakiweka shada la maua kwenye kaburi la babao.
Mdogo wa marehemu Willy Edward, Essey Ogunde (kushoto) na kakao, wakiweka shada la maua
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Absalom Kibanda (katikati), akiwaongoza baadhi ya wahariri kuweka shada la maua katika kaburi la marehemu Willy Edward wakati wa maziko yaliyofanyika Molotongo, Mugumu.
Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mara, Hilikia Omindo (kushoto) na Askofu John Adiema wa Dayosisi ya Rorya wakiweka shada la maua katika kaburi la marehemu Willy Edward.
Waombolezaji wakiwa wamejipanga foleni tayari kwenda ktuo heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Willy Edward.
Waombolezaji wakiwa katika msiba wa marehemu Willy Edward nyumbani kwao,

Popular Posts