Pages

Wednesday, August 8, 2012

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Sefue atembelea Hazina katika maonyesho ya Nanenane 2012

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(kulia) akisaini kitabu cha wageni jana mjini Dodoma alipotembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya wakulima ya nanenane mjini Dodoma kuona shughuli mbalimbali za Wizara hiyo katika maonyesho ya nanenae.Kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Fedha Ramadhan Omary.
Mkuu wa kitengo cha Menejimenti ya Mikataba kutoka Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini [GPSA] Mordecai Matto (kulia) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(kushoto) jana mjini Dodoma juu ya kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za umma yaliyokuwa
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(wa pili kulia) akisamiliana na watumishi na Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM)Mchambuzi wa Mifumo ya Komputya Ibrahim Sultan (katikati) na Afisa Taalum Mwandamizi Mkiramwene Msafiri(kushoto) jana mjini Dodoma alipotembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya wakulima ya nanenane mjini Dodoma.

Popular Posts