Pages

Saturday, August 11, 2012

Spika wa Bunge Anne Makinda Akutana naUongozi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaa

Spika wa Bunge la Tanzania akiwa na mazungumzo na Uongozi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam waliofika ofisini kwake Dodoma leo. Spika Makinda amewataka na kuwaasa kuwa na uzalendo kwa nchi yao.Picha na Prosper Minja - Bunge

Popular Posts