Pages

Tuesday, August 7, 2012

TUME YA KATIBA WAENDELEA NA TATHMINI YA KAZI YA KUKUSANYA MAONI

Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Alhaji Said El-Maamry akiongea leo (Jumanne, Agosti 7, 2012) katika mkutano wa Tume unaoendelea unaolenga kufanya tathmini ya kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo unafanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es salaam
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Salim Ahmed Salim akiongea leo
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Humphrey Polepole akiongea
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Rishard Lyimo akiongea leo
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Awadh Ali Said akiongea leo
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Ally Saleh akiongea leo (Jumanne, Agosti 7, 2012) katika mkutano wa Tume unaoendelea unaolenga kufanya tathmini ya kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya. Mkutano huo unafanyika katika ofisi za Tume jijini Dar es salaam.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mhe. Raya Suleiman Hamad akiongea leo

Popular Posts