Pages

Thursday, August 9, 2012

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Akutana na Uongozi wa Benki Kuu ya Tanzania

Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania BOT Tawi la Zanzibar Bwana Joseph Mhando akiwasilisha mchango wa Shilingi 10,000,000/- kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwa ajili ya mfuko wa Maafa hapo Baraza la Wawakilishi Mbweni Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
2.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Uongozi wa Benki Kuu ya Tanzania BOT uliofika ofisini kwake Baraza la Wawakilishi Mbweni kutoa mkono wa pole kufuatia ajali ya meli ya M.V. Skagiti hivi karibuni.

Popular Posts