Pages

Saturday, August 11, 2012

Papaa Msofe Alivyopandishwa Kizimbani Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar Es Saalam Kwa Tuhuma za Mauaji

Papaa Musofe akipanda gari ya polisi kurejea mahabusu baada ya kusomewa shitaka la mauaji kwenye mahakama ya Kisutu
Marijani Abubakar Msofe ‘Papaa Musofe’ (58) akiingia kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, kwa ajili ya kusomewa mashitaka katika kesi ya mauaji inayomkabili
Papaa Musofe akipandisha ngazi za mahakama ya Kisutu kwenda kusomewa shitaka la tuhuma za mauaji linanomkabili
Papaa Musofe akielekea mahakama ya Kisutu kwenda kusomewa shitaka la tuhuma za mauaji linanomkabili
Papaa Musofe akindikisha jina kwa maofisa wa Polisi mahakamani hapo
Papaa Musofe wa pili kulia, akiwa amekaa kwenye gari ya polisi chini ya uangalizi mkali, tayari kwa safari ya kurudi mahabusu.Picha Zote na Mdau Francis Dande

Popular Posts