Pages

Saturday, August 11, 2012

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad Atembelea Wafanyabiashara wa Jua Kali Saateni Zanzibar.

Mfanyabiashara ya mitumba katika soko la Saateni akitoa maelezo kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad alipotembelea eneo hilo jana.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiulizia bei ya viatu, wakati alipofanya ziara ya kutembelea eneo la biashara la Saateni mjini Zanzibar.maaarufu kwa jina la jua kali.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiangalia biashara ya mitumba, wakati alipofanya ziara ya kutembelea eneo la biashara la Saateni mjini Zanzibar.
Mfanyabiashara wa soko la Saateni Khamis Ali Mohd akitoa maelezo kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad kuhusiana na hali ya kudorora kwa biashara katika soko hilo, wakati Maalim Seif alipotembelea eneo hilo jana.Picha na Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar

Popular Posts