Pages

Friday, July 27, 2012

Emmanuel Shija Wa Tanzania Kupanda Ulingoni Agosti 19 Nchini Ugiriki

Bondia wa mchezo wa Kick Boxer Mtanzani, Emmanuel Shija (kushoto) akipozi kwa picha na mpinzani wake wakati wa utambulisho wa pambano lao linalotarajia kufanyika Agosti 9, mwaka huu mechi ya MMA UF3 ULTIMATE FIGHTING ndani ya Greece Thassalokia AHOY SUMMER NIGHT CLUB 19. 08.2012 LIVE ON INTERNET ww.XpowerSport.eu.
Shija akipozi na mpambe wake.
Shija (kushoto) akiwa na mabondia wenzake wanaoshiriki katika mapambano hayo yaliyodhaminiwa na Everlast.

Popular Posts