Pages

Friday, July 27, 2012

Mwanamuziki JOSE CHAMELEONE Afanya Maandamano Ubalozi Tanzania nchini Uganda Kushinikiza Arejeshewe Paspoti Yake.

Mwanamuziki Jose Chameleone akiimba nje ya ubalozi wa Tanzania nchini Uganda
Baadhi ya watu mablimbali walioungana na Mwanamuziki Jose Chameleone
Gari la Polisi likiwa nje ya Ubalozi Tanzania nchini Uganda
Mwanamuziki mashuhuri nchini Uganda Jose Chameleone akiwa nje ya jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Uganda na mabango sambamba na wapambe wake akishinikiza apatiwe passport yake ambayo anadai inashikiliwa na Bwa.Erick Shigongo.Picha mbalimbali kama zinavyoonesha tukio hilo nje ya jengo la Ubalozi Tanzania nchini Uganda.Picha zaidi ingia kwenye www.facebook.com/josechameleone

Popular Posts