Pages

Thursday, July 26, 2012

RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR DKT. SHEIN AKUTANA NA MABALOZI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,akizungumza na ujumbe wa Uongozi wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo,ukiongozwa na Rais wa Jumuiya hiyo Awadh Ali Said,(wa pili kushoto).Picha na Ramadhan Othman,ORZ.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Kiongozi wa Mabalozi waliopo Tanzania,pia Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo JUma Alfani Mpango,(katikati) na Balozi wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu(UAE) pia Kiongozi wa Mabalozi wa Nchi za Kiarabu nchini Tanzania,Mallalla Mubarak Suweid El-Amri, walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa Mazungumzo.

Popular Posts