Pages

Friday, July 27, 2012

MAFUNZO YA INTANETI KWA WAANDISHI HABARI WA MBEYA

Waandishi wa mkoa wa Mbeya wakiwa makini kufuatilia mafunzo ya kompyuta jijini Mbeya


Waandishi wa Habari Gordon Kalulunga(TANZANIA DAIMA), Johnson Jabir(MBEYA FM) na Lina Mwambungu (BARAKA FM).


Mwandishi mkuu wa Mbeya yetu Joseph Mwaisango naye alikuwepo katika semina hiyo

MAFUNZO ya Intaneti kwa waandishi Habari leo yameingia siku yake ya pili katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UCC) tawi la Mbeya chini ya Mwalimu Mdegela kutoka Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam.

Popular Posts