Pages

Friday, July 27, 2012

Rais wa Zanzibar Akutana na Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo JUma Alfani Mpango na Balozi wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu(UAE) Mallalla

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Kiongozi wa Mabalozi waliopo Tanzania,pia Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo JUma Alfani Mpango,(katikati) na Balozi wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu(UAE) pia Kiongozi wa Mabalozi wa Nchi za Kiarabu nchini Tanzania,Mallalla Mubarak Suweid El-Amri, walipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana kwa
Mazungumzo.

Popular Posts