Huyu  ni Mzee CUF, ni maarufu kwa upigaji picha za kuuza 'BANYAA' huyu pia ni  miongoni mwa wapiganaji ambao walipata kupigania haki ya Mtanzania wa  leo enzi hizo, ambaye kwa sasa kazi yake kubwa ni kujishughulisha na  uuzaji wa picha katika shughuli mbalimbali, hapa akihaha kusaka matukio  ya kuweka katika karatasi ya picha zake ambazo baadaye atafanya  biashara. Mzee huyu baada ya kuona siku ya leo ni muhimu hata kwake pia  lakini akiweka kazi yake mbele zaidi ili kujipatika kipato alionelea ni  vyema naye pia akakumbukia mavazi yake haya aliyoyavaa na kutinga nayo  eneo la tukio ili kuepuka kusumbuliwa na wahusika aweze kuingia kirahisi  eneo la tukio kama unavyomuona akiwa bize na vazi lake huku akiwa na  begi  kubwa la kamera wakati kajikamera alikonako ni kibiriti. Hii yote  ni janja tu ilimradi mkono uende kimiani.
 Mzee  CUF, akiwa bize kunasa picha za wajeda wakiwa katika paredi, begani ni  bonge la begi la kamera  ambalo ndani yake halina kilichokusudwa.

 Mzee CUF bado yu bize........

