Pages

Tuesday, July 24, 2012

MAZISHI YA BELINDA JOSEPH MWAPINGA

Mwili wa Marehemu Belinda ukiwa umewekwa juu ya nyumba yake ya milele katika makaburi ya Kinondoni Dar es salaam.
Mwili wa Belinda ukiwa katika kanisa la roman katoliki extenal.
Marehemu Belinda J. Mwapinga enzi za uhai wake.
Baba Padre akitoa heshima yake ya mwisho kwa mwili wa Belinda. J. Mwapinga jana katika Kanisa la Katoliki Extenal Dar es salaam
Joseph Mwapinga mwenye suti nyeusi akiwa na watoto wake alio achiwa na mke wake kipenzi Belinda.
Wafanyakazi wa VODACOM Tanzania wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Belinda wakiufikisha katika makaburi ya Kinondoni.
Mhandisi Joseph Mwapinga akiweka shada la mauwa kwenye kaburi la Mke wake.
Baba Padre akisali sala ya mwisho kwa ajili ya kumuombea Marehemu Belinda J. Mwapinga katika makaburi ya Kinondoni.kulia kwa Padre ni Joseph Mwapinga na mwenye Tshirt nyekundu ni rafiki wa karibu wa familia, Ndugu Stephen Mapunda.

Marehemu Belinda J. Mwapinga alifariki tarehe 20/07/2012 katika Hospitali ya Muhimbili na mazishi yake kufanyika tarehe 23/07/2012 katika makaburi ya Kinondoni.
Hawa ni baadhi ya waombolezaji waliohudhuria kwenye safari ya mwisho ya Belinda.

Popular Posts