Pages

Monday, July 23, 2012

RATIBA YA ZIARA ZA CHADEMA ARUSHA MJINI

Ratiba yetu ya mikutano ya hadhara ni kama ifuatavyo

Julai 25.Kata ya Themi
Julai 26.Kata ya Kaloleni
Julai 27.Kata ya Sombetini
Julai 29.Kata ya Elerai
Julai 30 Kata ya Daraja mbili
Agosti 1.Kata ya Kimandolu
Ratiba hii ni kwa awamu ya kwanza,baada yah ii awamu tutakuja tena na ratiba kwenye maeneo mengine.Ungana nasi katika harakati hizi za ukombozi,kwa kutuchangia kupitia namba ya m-pesa 0758003509
BY EPHATA NANYARO
CHADEMA Wilaya ya Arusha mjini
P.o.box 12525
Arusha
Ngarenaro h/se no 8
NHC street

Popular Posts