Pages

Saturday, July 28, 2012

WANAMICHEZO WA TANZANIA KATIKA MICHEZO YA OLIMPIKI 2012

Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mheshimiwa Peter Kallaghe, Naibu Balozi, Mheshimiwa Chabaka Kilumanga, akiwa pamoja na Wanamichezo wa Tanzania wanaoiwakirisha nchi kwenye Michezo ya Olimpiki kwenye kijiji cha Olimpiki.
Balozi, Naibu Balozi, Maofisa wa Kamati ya Olimpiki ya Tanzania na Wenyeji wao wa kujitolea (Volunteers), wakiwa kwenye picha ya pamoja kwenye kijiji cha Olimpiki, London.
Wawakirishi kutoka nchi mbalimbali, wakati wa ufunguzi rasmi wa kuwakaribisha Wanamichezo wote kwenye Kijiji cha Olimpiki, shughuli hiyo ya ukaribishaji wa Wanamichezo hao ulifanya jana tarehe 26 Julai 2012. Wanamichezo hao walipata nafasi ya kukutana na ndugu na jamaa zao ilikuwapa Motisha ya Ushiriki wao kwenye Michezo hiyo.

Popular Posts