Pages

Saturday, July 28, 2012

Kongamano la Tatu la Ushirikiano wa Kimaendeleo na Upunguzaji Umaskini Kati ya China na Afrika

Waziri wa Nchi, Uhusiano na Uratibu, Mhe. Stephen Wassira (Kulia) akimsikiliza kwa makini Mhe. Fan Xiaojian, Waziri, Ofisi Kiongozi ya Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, inayohusika na masuala ya Maendeleo na Kupunguza Umaskini (Katikati). Kushoto ni Mkalimani wa Waziri huyo.
Washiriki wa Kongamano wakiwa makini kufuatilia mawasilisho na mada mbali mbali zilizokuwa zikitolewa.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kushoto) akizungumza na mmoja wa washiriki wa Kongamano hilo Li Xin kutoka China.
Naibu Katibu Mtendaji (Uzalishaji) wa Tume ya Mipango, Maduka Kessy (Katikati) akizungumza na baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo.
Wadau wa habari nao hawakuwa nyuma katika kunasa matukio ya Kongamano hilo.

Popular Posts