Pia mkaa unaotengenezwa kwa teknolojia ya kisasa unapatikana. 
    Epuka kuhangaika na giza, Sola zinapatikana.
    Wateja wakipatiwa huduma.
      Muonekano wa banda lao.
    Programe Director wa Arti- Tanzania, Dennis Tessier akiwa ndani ya banda lao. 
    Meneja wa mambo ya mkaa, Allan Shahidi akitoa somo kwa wateja waliofika bandani hapo.