Pages

Thursday, July 5, 2012

BANDA LA ARTI-TZ MAONYESHO YA SABASABA 2012

Pia mkaa unaotengenezwa kwa teknolojia ya kisasa unapatikana.
Epuka kuhangaika na giza, Sola zinapatikana.
Wateja wakipatiwa huduma.
Muonekano wa banda lao.
Programe Director wa Arti- Tanzania, Dennis Tessier akiwa ndani ya banda lao.
Meneja wa mambo ya mkaa, Allan Shahidi akitoa somo kwa wateja waliofika bandani hapo.

Popular Posts