Pages

Tuesday, July 3, 2012

DKT. Mohammed Hafidh khalifan ateuliwa kuwa mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzíbar

RAIS wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DKT. Ali Mohammed Shen kwa uwezo alio pewa chini ya kifungu 9 (1) ((a) cha sheria ya mafunzo ya Amali Zanzíbar namba 8 ya mwaka 2006 amemteuwa DKT. Mohammed Hafidh khalifan kuwa mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzíbar .

Kwa mujibu wa barua ya tarehe 2 /7/2012 ilio tiwa saini Katibu wa Baraza la Mapinduzi na katibu mkuu kiongozi zanzibabr DKT Abdull Hamid Yahaya Mzee uteuzi huo umeaza tangu tarehe 30/6/2012 mwaka huu.
Na
Ali Issa Maelezo-Zanzíbar

Popular Posts