Pages

Tuesday, July 3, 2012

CCM NYAMAGANA KUANDAMANA KESHO

chama cha mapinduzi (ccm) wilaya ya nyamgana mkoani mwanza kesho kufanya maadamano ya amani kuishinikiza madaktari kurejea kazini na kutoa huduma kwa wagonjwa
katibu wa wilaya hiyo deogratius rutta amesema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake amesema maandano hayo yataanza saa tisa alasiri kwakuanzaia ofisi za wilaya ya nyamagano hadi katika ofisi za wilaya ya nyamagana ambapo maandamano hayo yatapokelewa na mwenyekiti wa ccm mkoa wa mwanza clement mabina

Popular Posts