Pages

Monday, July 2, 2012

MKUTANO WA MADAKTARI KUFANYIKA 03/07/2012

Taarifa kwa Madaktari wote nchini,

Kamati ya Jumuiya ya madaktari Tanzania inapenda kuwaalika madaktari wote nchini kuhudhuria mkutano mkubwa wa madaktari utakao fanyika siku ya Jumanne tarehe 03/07/2012 kuanzia saa mbili asubuhi katika ukumbi utakaotangazwa baadaye.

Imetolewa na Kamati ya Jumuiya ya Madaktari.

Popular Posts