Pages

Thursday, July 5, 2012

WASHIRIKI KATIKA SHINDANO LA KUMSAKA MISSS UTALII KAGERA 2012 WATEMBELEA BANDARI YA BUKOBA NA MELI YA MV. VICTORIA

Meneja wa Kampuni ya Kiroyera Tours akitoa maelezo kwa Warembo hawa.
Warembo wakiwa katika pozi.
Muandaaji wa Onyesho hili Bi Dinna akimshkuru AFISA wa Bandari ndg Msese.
Afisa wa Bandari Mdau Ajuaye Kheri Msese akiwapa somo walimbwende katika kuwapa uelewa zaidi wa mambo mbalimbali.
Warembo wakiwa wamejipanga kwa pozi.
Mkuu wa Bandari Ndg Ernest Nyambo akisalimiana na walimbwende hawa. Picha/BukobaWadau Blog.

Popular Posts