Pages

Tuesday, July 3, 2012

WANAHARAKATI KUTOKA VYUO VYA ELIMU YAJUU WAPINGA MGOMO WA MADAKTARI

Kundi la wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini, wakiwa na mabango jana katika hospitali ya taifa, Muhimbili, Dar es Salaam, kushinikiza madaktari waache mgomo


Kiongozi wa wanaharakati kutoka vyuo vya elimu ya Juu, Abubakar Assenga akizungumza na waandishi wa habari baada ya maandamano yao kufika Muhimbili kushinikiza madaktari kuacha mgomo

Popular Posts