Pages

Thursday, July 5, 2012

KIJADALA AKAMATWA KWA TUHUMA ZA WIZI VIWANJA VYA SABASABA

Kijana mmoja ambaye jina lake halikuweza kujulikana mara moja akiwa amekamatwa na vijana wa skauti mara baada ya kukamatwa huku akiwa ameiba simu ndani ya Maonyesho ya SabaSaba 2012 jijini Dar.
Mpeleke mpelekeeeee...
Kitu cha Tanganyika jeki kikiwa kimekolea.
Wananchi mnatakiwa kuwa makini sana mnapokuwa mmetembelea maonyesho ya SabaSaba 2012 maana kuna vibaka wa kutosha japo vijana wa skauti wamekuwa wakijitahidi kulinda usalama.

Popular Posts