Pages

Tuesday, June 5, 2012

Ajali iliyo tokea eneo la Ntangano Ijombe Mbeya

Watu Mbali mbali wakisaidia shughuri za uokoaji katika eneo hilo
Umati Mkubwa wa watu uliofika Eneo la Ajali kushuhudia pamoja na kusaidia kazi ya uokoaji
Baadhi ya watu wakiwa wameitanda Coaster hiyo kwa ajili ya kusaidia uokoaji

Baadhi ya ya maiti kama zinavyo onekana zikiwa chini wakati wanangojea shughuri nzima ya uokoaji




Gari Kubwa la Mizigo ambalo nalo Lilipinduka Mara baada ya ajali kutokea
Watu walio Fika katika hospitali ya Rufaa kutazama miili ya Marehemu
Miili ya Marehemu ikiwa tayari imewasili katika Hospitali ya Rufaa Mbeya
Polisi na watu mbali mbali pamoja na wauguzi wakiwa wamefika kusaidia kazi ya kushusha maiti hizo
Wafanyakazi wakiwa wanakimbiza majeruhi kupata huduma ya kwanza pamoja na Kupeleka Marehemu katika chumba cha Kuhifadhia Maiti.
Basi aina ya Coaster lililo kuwa linatokea Mbeya kuelekea Kyela Muda mfupi baada ya Ajali kutokea
Gari la Mizigo ambalo limehusika na ajali hiyo likiwa pembeni muda mchache baada ya ajali hiyo kutokea
Baadhi ya waandishi wa Habari wakiwa katika eneo hilo la Hospitali ya Rufaa Jijini Mbeya muda mchache uliopita
Mmoja wa majeruhi ambae baada ya kupata matibabu
Mmoja ya mdada ambae ameumia Vibaya akipata matibabu katika hospitali ya Rufaa muda mchache uliopita
Baadhi ya Ndugu jamaa na marafiki waliofika eneo nyumba ya Kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Rufaa kuwatambua ndugu zao muda mchache ulio pita
Polisi wa usalama wa Barabarani wakiwa katika hospitali ya Rufaa Mbeya
Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa Dr.Sankey akithibitisha vifo vya Abiria 13 na Majeruhi 20
Shuhuda aliye kuwa katika Ajali hiyo akitoka kutoa Ushahidi
Miili ya Marehemu katika Chumba cha kuhifadhia maiti kwa ajili ya Utambuzi
Mamia ya watu wamefika Hospitalini hapo Kutambua Miili ya Ndugu zao
Moja ya Maiti ikiwa Wodini kabla ya kupelekwa chumba cha kuhifadhia Maiti
Watu Mbali Mbali wakielekea Kutazama Miili ya Marehemu
Watu wanazidi kumiminika kutazama Miili ya Marehemu Hospitalini Hapo


Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu Blog wa kwanza kushoto aliye valia shati Jeupe Joseph Mwaisango akiwa anatoka eneo la Tukio mara baada ya kumaliza kazi yake

Tukio zima Limefuatiliwa kwa ukaribu na Joseph Mwaisango ambae alipiga picha zote na Kurushwa moja kwa moja Hewani ya Fredy Tony Njeje wote wa Tone Media Live Group, Ambao ni wamiliki wa mtandao huu.

Source : http://www.mbeyayetu.blogspot.com/

Popular Posts