Pages

Saturday, June 9, 2012

MKUTANO WA CCM JANGWANI JUMAMOSI JUNI 9 2012


Maelfu wakiwa wamefurika kwenye mkutano wa hadhara wa CCM unaofanyika jioni hii kwenye Viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ni wa kuwapongeza viongozi wa mashina na matawi waliochaguliwa katika uchaguzi wa CCM ulifanyika kwa ngazi hizo mkoani Dar es Salaam
Wilaya ya Kinondoni wakishangilia baada ya kutambulishwa.
Watu wakionyesha kuwa na shamrashamra baada ya kukaa nafasi zao.
Wa Ilala wakiingia viwanja vya Jangwani.
Watu kutoka Temeke wakiingia viwanja vya Jangwani.
Wa Mbagala wakiingia viwanja vya jangwani.
Mfuasi wa Chadema akiwa na fulana kenye ujumbe
Mfuasi wa CCM akionyesha fulana lenye ujumbe hivi sasa viwanja vya jangwani jijini Dar es Salaam kwenye mkutano wa CCM

Popular Posts