Pages

Saturday, June 9, 2012

Balozi Wa Uingereza Nchini Tanzania Atembelea Wizara Ya Nishati na Madini


Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania, Bi. Diane Corner (kushoto) akisisitiza jambo kwenye kikao alichofanya na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (katikati) mara baada ya kufanya ziara kwenye Wizara. Anayesikiliza upande wa kulia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya madini, Mhe. Stephen Maselle. Lengo la ziara yake ilikuwa ni kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Uingereza hususan katika sekta za nishati na madini.
Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Profesa Sospeter Muhongo akimsikiliza kwa makini Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Bi. Diane Corner katika kikao hicho. Kikao hicho kilihusisha pia wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini.

Popular Posts