Pages

Wednesday, June 6, 2012

Ziara Ya Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye Mkoani Njombe

Msafara wa Nape ukiongozwa na pikipiki wakati ukiingia mjini Njombe kwa ajili ya mkutano wa hadhara na kufungua matawi kadhaa aya CCM
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadahara katika Uwanja wa Turbo, mjini Njombe, akiwa katika ziara ya kuimarisha uhai wa Chama na kukagua miradi ya maendeleo mkoani humo, leo 5/6/2012
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadahara katika Uwanja wa Turbo, mjini Njombe, akiwa katika ziara ya kuimarisha uhai wa Chama na kukagua miradi ya maendeleo mkoani humo, leo 5/6/2012
Nape akizindua shina la wakereketwa wa CCM la Melizine mjini Njombe wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa Chama mkoani Njombe
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akicharaza ngoma wakati wa mapokezi yake katika kijiji cha Mlangali mkoani Njombe juzi 4/6/2012.Picha na Mdau Bashir Nkromo

Popular Posts